Msichana Mtanzania aliyeshinda Dollar 500 kupitia Facebook

Story kubwa kutoka Mwanza leo June 14, 2017 ni kuhusu msichana Paulina Robart mwenye umri wa miaka 18 aliyeshinda Dollar 500 za Marekani baada ya kuandika wazo kuhusu Afya ya Uzazi kupitia Facebook. Ayo TV na millardayo.com zinaye katika EXCLUSIVE Interview na amefunguka zaidi..

No comments: