Bunge la Iran lashambuliwa na watu 12 kuuawa

Shambulizi katika bunge la Iran lawaua watu 12. Kampeni Uingereza zakamilika leo kabla uchaguzi mkuu kesho Alhamisi. DRC yakubali uchunguzi wa pamoja dhidi ya mauaji ya wataalamu wa UN na raia wa Kasai. Trump ajiingiza katika mgogoro wa kidiplomasia unaoikumba Qatar. Papo kwa Papo 07.06.2017

No comments: