Kesi iliyoamuliwa Mahakama Kuu Tanzania imetwaa Tuzo ya Dunia

July 08 2016 Mahakama Kuu ya Tanzania ilitoa hukumu kukubali kwamba vifungu vya 13 na 17 vya Sheria ya Ndoa vinapingana na Katiba ya nchi kwa kuweka umri tofauti wa kuoa/kuolewa kati ya mtoto wa kike na wa kiume...good news ni kwamba kesi hiyo imeshinda Tuzo ya Dunia

No comments: