YUSUF MANJI AREJEA RASMI YANGA AWAVUTA ABDALLAH BIN CLEB, SEIF MAGARI KU...

Mara baada ya Klabu ya Yanga kutangaya kuwa imeanyisha utaratibu wa wanachama wake kuwachangia fedha , upande wa pili wapinyani wao Simba Sc wakaanya kuongea huku wakiwacheka kuwa eti wameishiwa, sasa hahari njema kwa wanajangwani hao ni kuwa Matajiri watatu wenye uwezo kurudisha Klabu hizo katika hadhi za kimataifa Wamerejea. Matajiri hao wakiongoywa na Zusuf Manji ni pamoja na Abdallah Bin Cleb na Seif Ahmed Magari. viongoyi hao tazari wamekisafirisha kwa Ndege kikosi cha Yanga SC chenze jumla za wacheyaji ishirini na mbili kwenda Mwanya Kucheza nusu fainali kombe la FA.

No comments: