Kundi la watu lavamia Kanisa na kulibomoa, Mwanza...kisa?

Published on Jun 28, 2017
Moja ya story ambayo ina-make headlines kutoka Mwanza ni kuhusu uvamizi wa Kanisa la EAGT City Center la Mkuyuni Mwanza uliofanywa na kundi la watu saa 11 alfajir na kulibomoa. Ayo TV imempata Mama mlezi wa Kanisa hilo na anaelezea zaidi..

No comments: