Mabeste, Lisa na mastaa wa nje kuutangaza Utalii wa Tanzania



Mwimbaji kutoka Bongoflevani Mabeste na mke wake Lisa 'Mama Kedrick' wameelezea mipango yao kuhakikisha wanakuwa sehemu ya kuutangaza Utalii wa Tanzania hasa baada ya siku za hivi karibuni kushuhudia mastaa kadhaa wa soka Duniani wakitembelea Tanzania ambapo kupitia project ya PIGA KAMBI wana mpango wa kuwaleta mastaa wakubwa kama Beyonce na Rihanna ili kuutangaza Utalii.

No comments: