Mmiliki wa Migodi ya Acacia Uso kwa Uso na Rais Magufuli Ikulu, Akubali ...

Siku chache baada ya Rais John Pombe Magufuli kukabidhiwa ripoti ya kamati ya kuchunguza mchanga wa madini na kubaini kwamba kampuni ya Acacia ilikuwa ikifanya kazi zake nchini bila kuwa na vibali na ilikuwa ikisafirisha mchanga huo wa madini kinyume cha sheria, mmiliki wa migodi hiyo amemuibukia rais Magufuli Ikulu.

No comments: