EWURA kuhusu kuongezwa muda wa leseni ya IPTL


Leo June 8, 2017, kituo cha Sheria na Haki za Binadamu 'LHRC' kimetoa tamko kupinga hatua ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji 'EWURA' kupokea na kutangaza kusudio la kuiongezea leseni ya uzalishaji umeme kampuni ya Independent Power Tanzania Limited 'IPTL'.

No comments: