update:Lowassa afunguka, ampongeza Rais Magufuli kuhusu ripoti ya Madini

Siku moja baada ya Rais Magufuli kupokea ripoti ya Kamati ya Uchunguzi wa madini yaliyo kwenye makontena yenye mchanga unaosafirishwa nje ya nchi lee June 13, 2017 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Edward Lowassa amekutana na wandishi wa Habari na kutoa ushauri kuhusu ripoti hiyo

No comments: