Serikali Yawatoa Hofu Wafanya Biashara

Kufatia Malalamiko Ya Wabunge Wakati Wa Mjadala Wa Bajeti Ya Wizara Ya Fedha Ambapo Kulikuwa Na Malalamiko Kuwa Sekta Binafsi Imekuwa Ikiporoma Kwa Kasi Serikali Imewatoa Ofu Wafanya Biashara Nchi Kufatia Matamko Ya Baadhi Ya Viongozi Jambo Lilizua Hofu Kwa Wafanya Biashara

Akiwasilisha bajeti Ya Serikali Bungeni Mjini Dodoma Waziri Dkt Mpango amesema Ametoa Wito Kwa Wafanya Biashara Wafanye Biashara Bila Hofu Kwa Kufata Kanuni Taratibu Na Sheria Za Nchi

No comments: