Rai ya JPM yabadili muelekeo Makampuni ya miamala ya Fedha


Story ambayo inatrend kwa sasa kwenye mitandao mbalimbali ni baada ya Rais JPM kutoa rai kwa Makampuni ya Miamala ya Fedha ikiwemo mitandao ya simu na Mabenki kuharakisha uuzaji wa hisa 25% katika hisa zao kwenye Soko la Hisa DSM. Ayo TV na millardayo.com zimefanikiwa kutembelea moja ya ofisi za Maxcom Africa ambayo imebadili jina na sasa inaitwa Maxcom Africa PLC baada ya kauli ya JPM

No comments: