BREAKING NEWS: Mnyika atolewa bungeni, wapinzani watoka naye

Mbunge wa Kibamba, John Mnyika umetolewa nje ya bunge kwa agizo la Spika wa Bunge, Job Ndugai.Licha ya adhabu hiyo, amemzuia kuhudhuria vikao vya bunge kwa siku saba kuanzia leo.mara baada ya kitendo hicho wabunge wote wa kambi ya upinzani wakatoka nje

No comments: