FULL VIDEO: Alivyopokelewa Rayvanny kutoka Marekani



kama kawaida kwanguleo inakuletea taarifa zinazoendelea kujiri kila muda.
mwanamziki anayetokea kwenye lebo ya wassafi classic Rayvanny baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius kambarage nyerere alipata mapokezi makubwa sana kutoka kwa mashabiki wake pamoja na bosi wake msanii  diamond platinum.shamrashamra za mapokezi zilianzia kwenye sehemu ya mapokezi kwani watuwalikuwa ni wengi kupita ilivyotarajiwa

Msanii wa Bongo Movie afungua kanisa lake DSM

kama kawaida ya kwanguleoblogspot inakuletea taarifa zinazojiri kila mara katika mambo ya siasa,michezo ,makala na mambo yanayohusiana na afya.ili uweeze kuwa mmoja wa watu wanaofikiwa kwa uharaka na habari hizo unachotakiwa kufanya ni kutembelea ukurasa wa facebook wa kwanguleo.pamoja na kujisajili kwenye ubao uliopo juu ya ukurasa wa kwanguleo.
muigizaji wa movie nyingi za kibongo ambaye anajulikana kama pastor mnyamba wiki hii amezindua kanisa lake kwani ilikuwani ndoto aliyonayo kwa muda wa miaka kumi hatimaye ndoto yake imetimia.akiongea na kituo cha ayo tv anasema amekuwa kama muigizaji ambaye alikuwa anaelezea neno la mungu kwa kutumia sanaa ambayo mungu amempa

"HII SERIKALI NI YA KUKURUPUKATU" -MBUNGE MSIGWA




kama kawaida kwanguleo inakuletea taarifa za haraka zinazotokea.
mbunge wa iringa mjini mheshimiwa msigwa amesema serikali ya awamu ya tano ini serikali ya kukurupuka kwani inaleta itifaki siku moja kabla ya uwasilishwaji wa itifaki hizo hivyo kufanya itifaki hizo zisieleweke vizuri kwa wabunge hao.akiendelea kusema kuwa hati za zaruraru ni yale ambayo hatujajifunza kutoka kwa yale yaliojiri nyuma hivyo tunatakiwa tujifunza na tubadili kwa ajili ya mambo mapya yajayo.nakuomba jisajili kwanye nafasi iliyopo juu kwa habar za kila muda ziwezi kuuingia kwenye kifaa chako kwa haraka zaidi pia nakuomba tembelea facebook page ya kwanguleo follow na like kwa uharaka zaid



LEMA NA MNYIKA WAMWAGA SIRI ZOTE ZA MAUAJI YA KIBITI

Huzuni ilitawala Lulu Michael alipotokwa na machozi kwenye interview