Mrembo Mtanzania aliyenunua nyumba New York, Marekani

Herieth Paul ni mrembo mtanzania ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, Ni Model mwenye umri mdogo ambaye kwa sasa anaishi kwenye Nyumba yake mwenye aliyoinunua New York, Marekani.

'Niliumia sana moyo nilipomkosa Mwigizaji Elizabeth Michael'- Bahati

7 ambapo mkali kutoka Kenya, Bahati alikutana na millardayo.com & Ayo TV Airport Dar es Salaam na kuzungumza jinsi alifanya jitihada zake za kumtafuta Mwigizaji Lulu amshirikishe kwenye single yake lakini haikuwezekana.

MALAIKA-"Nilifeli Kidato cha 4 lakini sio mwisho wa maisha"

May 26, 2017 Mwimbaji staa kutoka Bongoflevani Malaika ambaye siku chache zilizopita alikuwa kwenye headlines kufuatia kufanya show Marekani amefunguka kuhusu maisha yake ambapo amegusia kuhusu elimu yake akisema alifeli Kidato cha Nne.

Kala Jeremiah aikosoa kauli ya Mwakyembe kutoimba Siasa

Hivi karibuni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Harrison Mwakyembe alisimama Bungeni Dodoma na kuwataka wasanii wasijihusishe na kuimba siasa badala yake wajikite kuelimisha jamii kauli ambayo imekuwa gumzo kwa wadau wa muziki.

SAKATA LA KUIBIWA MTOTO: Waziri Ummy aunda Tume Huru kuchunguza

Siku zimepita tangu sakata la Mwanamke mkazi wa Dar es salaam aitwae Asma kudai kuibiwa mtoto ambaye inadaiwa wakati akifanyiwa Ultra sound alikua na ujauzito wa Watoto mapacha lakini alipokwenda kujifungua aliambiwa amejifungua mtoto mmoja

Manji Akanusha Kujiuzulu Awataka Wanachama Yanga Kutulia

Baba Mzazi Athibitisha Msuva Kuondoka Yanga, Je Anakwenda Timu Gani?

Alisajiliwa kwa Laki 2 Leo Simon Msuva Kachukua Tuzo ya Mfungaji Bora

John Bocco Atua Rasmi Simba, Aishi Manula Naye Kumfuata, Griezmann Man U

Hatimaye John Bocco Atua Simba, Aishi Manula Naye Kumfuata

Pogba: Aenda Kuhiji, Asema Hajawahi Kuona Sehemu Nzuri Kama Meccah

�� Askofu Gwajima awavaa Prof. Muhongo na Tundu Lissu

Askofu Gwajima awavaa Prof. Muhongo na Tundu Lissu kwenye Ibada ya Kanisani kwakwe Jumapili. Amsifia Rais Magufuli kwa hatua alizochukua sakata la Mchanga wa Madini

GODBLESS LEMA"NI MWENDAWAZIMU PEKEE NDIO HATAPONGEZA RASILIMALI ZA NCHII ZIKILINDWA"

Kaimu balozi wa Marekani Tanzania aeleza msimamo Washington kuhusiana na...

Virginia Blaser, kaimu balozi wa Marekani nchini Tanzania akizungumza katika mahojiano maalum na Sauti ya Amerika juu ya masala mbali mbali.

Isaac Ruto in Baringo ''Hii serikali ni ya Uhuru Kenyatta, William Ruto ...

Mtazamaji safari ya Rais Uhuru Kenyatta ya kisiasa bila shaka imekuwa na misukosuko ya aina yake, kuanzia miaka ya tisini aliposimama wadhifa wa ubunge wa Gatundu Kusini na kushindwa.

news:msukosuko unaomkabili rais uhutu kenyetta

Mtazamaji safari ya Rais Uhuru Kenyatta ya kisiasa bila shaka imekuwa na misukosuko ya aina yake, kuanzia miaka ya tisini aliposimama wadhifa wa ubunge wa Gatundu Kusini na kushindwa.

Lissu Aponda Uamuzi wa Rais JPM Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Atabiri Hali ...

Tundu Lissu, Mbunge Singida Mashariki, ameucharukia uamuzi wa rais Magufuli wa kuzuia mchanga wa dhahabu kwenda nje ya nchi, akieleza kwamba kitendo hicho kimeua kabisa diplomasia ya kiuchumi.

baada ya MAGUFULI kumtumbua IGP mangu atoa KAURI HII

Maneno matatu ya Zari kwa wanae leo kwenye kumuaga aliyekuwa mume wake.

zari the boss lady leo siku ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mpenzi wake wa zamani ivan ambaye wamefanikiwa kupata watoto watatu.katika hatua hiyo ya mwisho zary aliamua kutoa maneno matatu kwa watoto wake

news:Hali ya Kiuchumi kwa Mzee Yusuph Yabadilika Sana Kutokana na Dini.

hali ya kiuchumi ya mwimbaji wa taarabu mzee yusuph imbabadilika kutokana na dini.akisema hayo kwenye mahojiano na kituo cha redio cha times fm afunguka bayana hali yake ilivyo sasa na hali ya kipindi cha nyumba

MCHANGA WA DHAHABU: Rais Magufuli atatikisa dunia, Serukamba

Mheshimiwa peter serukamba mbunge wa kigoma anasema sakata la mchanga wa dhahabu raisi magufuli atikisa nchi.

Mbwana Samata Azidi Kung'ara- KRC Genk 3-0 St. Truiden - Belgium Jupiler...