Jionee Harmonize na Mzungu wake wakila bata Marekani

Gwajima Anunua HELKOPTA ya Kijeshi , kubwa kuliko zote Africa

Breaking Newz: HAWA NDO VIGOGO WALOSAINI MIKATABA YA MADINI WATAJWA WALO...

UWAMUZI WA MAGUFULI NA HATUA ATAKAZOZICHUKA KWA REPOTI YA 2 YA MADINI - ...

Bajeti ya Tanzania kwa mwaka wa fedha 2017

BBC SOMALI TV BULLETIN 09.06.2017

HATARI: SAKATA LA UCHAWI BUNGENI

UPINZANI WAIGOMEA TENA BAJETI KUU YA SERIKALI

RIPOTI YA MCHANGA II: Alichokisema Rais Magufuli Baada ya Kukabidhiwa, I...

Ripoti ya pili ya mchanga wa madini, imewasilishwa mbele ya Rais John Pombe Magufuli na mwenyekiti wa kamati hiyo, Nehemia Eliachim Ossoro ambapo rais ameonesha kuhuzunishwa sana na kukasirishwa mno na kilichomo kwenye ripoti hiyo.
Ripoti ya kamati hiyo, inakuja siku chache baada ya kamati ya kwanza iliyoongozwa na Profesa Mruma, nayo kukabidhiwa kwa mheshimiwa Rais, ikionesha ubadhirifu mkubwa wa rasilimali za taifa, katika sekta ya madini nchini

Agizo la JPM kwa Spika Ndugai baada ya kupokea Ripoti ya Pili

Baada ya kupokea Ripoti ya Pili ya mchanga wa madini Ikulu leo June 12, 2017 Rais Magufuli ametoa agizo kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kuwashughulikia Wabunge ambao hawaoneshi nidhamu kuheshimu Bunge…