Ramadhani katika nchi za vita na migogoro

Mwili wa anayedaiwa kuchora Nembo ya Taifa ulivyoagwa Muhimbili

June 2, 2017 ilitolewa taarifa ya kupatikana kwa ndugu wa marehemu mzee Francis Maige Kanyasu ambaye anatajwa kuwa mmoja wa waliochora Nembo ya Taifa ambapo ilielezwa pia kuwa mwili wake utaagwa leo June 3, 2017 katika Hospitali ya Muhimbili

Lava Lava kutoka WCB akiri kumkubali Alikiba zaidi

Baada ya Lava Lava kutangazwa kujiunga na lebo ya WCB siku chache zilizopita pamoja na kuachia wimbo wake mpya 'Tuachane' ambao unafanya vizuri sehemu mbalimbali - muimbaji huyo ameeleza mengi ikiwemo safari yake mpaka kufika WCB

TUNDULISU:magufuli anadanganya watu MCHANGA SIYO WETU ,ripotini TAKATAKA

Serikali yashauriwa kufumua mikataba ya madini, kuondoa mapungufu

#SiriImefichuka: Inasemekana Wema Sepetu kwenye Penzi zito na Mbowe! Sik...

HARMONIZE AMTAMBULISHA RASMI MPENZI WAKE WA KIZUNGU RAIA WA ITALY, MCHEK...

Harmonize Amtambulisha Rasmi Mpenzi wake wa kizungu.... Raia wa Italy ambaye anamuweka Mjini kwa sasa.... Habari zinazo zagaa kama Njugu kitaa ni kwamba mwanamama tayari ana Mimba na Muda wowote kinanukaa...!! Je Unampa marks ngapi Harmonize kwa chombo hiki?? 50 % au 100% ????

GIGY MONEY ANA NGOMA? AMEPIMA, MAJIBU HAYA HAPA, WEMA ACHEZESHWA KISINGE...

Yule mwanadada anayeliangahisha jiji la Dar es Salaam, deo aliyotuwekea mtandaoni, Gigy ambaye alitrend juma lililopita kwa kulikisha video akiwa na mwanasheria maarufu Albert Msando ameamua kuyaweka majibu yake hadharani jionee..

HAIJAWAHI KUTOKEA! MAGUFULI AMTEUA MPINZANI ANNA MGHWIRA MKUU WA MKOA KI...

Rais Magufuli amemteua aliyekuwa mgombe urais kupitia ACT Wazalendo Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Moa wa Kilimanjaro baada ya aliyejiuzulu Mh. Saidi Meck Sadiki.

Breaking Newz: MAGUFULI AMTEUWA MPIZANI MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO KUKA...

JK AFUTURISHA NYUMBANI KWAKE MSOGA ATOA NENO KWA RAIS MAGUFULI

Mambo mawili ya Zitto Kabwe kuhusu Mchanga wa Madini

June 3, 2017 Chama cha ACT Wazalendo kimefanya Kongamano kuhusu Rasilimali Madini ambalo limefanyika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa DSM kujadili masuala ya Madini ikiwemo Mchanga wenye madini unaosafirishwa nje ya nchi.

Gesi na Mafuta bado havijaikwamua mikoa ya kusini kuwa ya kibiashara

"Spika Ndugai alimdhalilisha Mbunge John Mnyika"-BAVICHA

June 2 2017, Mbunge wa Kibamba, John Mnyika aliingia kwenye headline baada ya Spika wa bunge kuamuru atolewe ndani ya ukumbi wa bunge kwa madia ya kuonyesha utovu wa nidhamu.

Sasa leo June 3 2017 Baraza la vijana la chama cha demokrasia na maendeleo 'BAVICHA' limelaani kitendo cha kumsukuma Mbunge John Mnyika wakidai kuwa Mnyika hakukaidi amri ya Spika kutoka nje na walitumia nguvu iliyopita kiasi.

Aidha wamelaani kitendo cha Spika wa Bunge Job Ndugai kuwaagiza askari kumtoa nje kwa nguvu Mbunge Mnyika hata pale amabpo alikuwa anajiandaa kutoka ndani ya ukumbi wa bunge kiistaarabu

Utamu wa soka Tanzania hadi Ligi ya Mabingwa Ulaya

DIAMOND PLATNUMZ AMEKUBALI KULEA WATOTO WA MAREHEMU IVAN DON KWA HALI YE...

diamondplatnumz amekubali kulea watoto wa marehemu Ivan Don kwa hali yeyote....anasema Muda wowote watakaomuhitaji Basi haitakuwa shida.... Tazama X sikiliza hapa full Interview kisha Acha comment yako hapa mdau

Maneno ya Diamond Platnumz baada ya kurudi Tanzania jana

Idadi ya watoto wanaofariki Tanzania kwa kukosa lishe bora

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dr. Charles Tizeba yupo Kagera kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Maziwa Kitaifa ambapo amesema kuwa takwimu zinaonesha zaidi ya watoto 130 hufariki kila siku Tanzania kutokana na lishe duni.

Idadi ya watoto wanaofariki Tanzania kwa kukosa lishe bora

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dr. Charles Tizeba yupo Kagera kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Maziwa Kitaifa ambapo amesema kuwa takwimu zinaonesha zaidi ya watoto 130 hufariki kila siku Tanzania kutokana na lishe duni.

Mambo matano kutoka Azam FC baada ya cheo cha CEO kufutwa

Jana June 1 2017 club ya Azam FC itangaza rasmi kumalizana na aliyekuwa afisa mtendaji Mkuu wa club hiyo Saad Kawemba (CEO) kutokana na mkataba wake kumalizika, walitangaza kubadilisha mfumo wa uendeshaji wa club na utawala lakini afisa habari wa club hiyo Jafari Idd kaongea na wanahabari leo.