Mambo mawili ya Zitto Kabwe kuhusu Mchanga wa Madini

June 3, 2017 Chama cha ACT Wazalendo kimefanya Kongamano kuhusu Rasilimali Madini ambalo limefanyika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa DSM kujadili masuala ya Madini ikiwemo Mchanga wenye madini unaosafirishwa nje ya nchi.

No comments: