Mambo matano kutoka Azam FC baada ya cheo cha CEO kufutwa

Jana June 1 2017 club ya Azam FC itangaza rasmi kumalizana na aliyekuwa afisa mtendaji Mkuu wa club hiyo Saad Kawemba (CEO) kutokana na mkataba wake kumalizika, walitangaza kubadilisha mfumo wa uendeshaji wa club na utawala lakini afisa habari wa club hiyo Jafari Idd kaongea na wanahabari leo.

No comments: