Idadi ya watoto wanaofariki Tanzania kwa kukosa lishe bora

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dr. Charles Tizeba yupo Kagera kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Maziwa Kitaifa ambapo amesema kuwa takwimu zinaonesha zaidi ya watoto 130 hufariki kila siku Tanzania kutokana na lishe duni.

No comments: