WOLPER: Alikiba ni Mtamu Kimahaba Kuliko Wote Harmon...

JACKLINE WOLPER MSANII WA KIKE MAARUFU WA BONGO MUVI AKITHIBITISHA MWENYEWE KWA KINYWA CHAKE KUWA ALIKIBA PEKEE NDIYE MWENYE MAHABA MATAMU KULIKO WENGINE WOTE ALIOWAHI KUTOKA NAO KIMAPENZI.

Mbali na Siasa, vifahamu vitu ambavyo Mwl. Nyerere alivipenda


June 3 na 4, 2017 ni siku ambazo zimepangwa kufanyika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Tanzania ambapo kitaifa yatafanyikia nyumbani kwa Hayati Mwalimu Nyerere Butiama katika Mkoa wa Mara huku Kaulimbiu ikiwa “Hifadhi ya Mazingira: Muhimili kwa Tanzania ya Viwanda

Diamond Platnumz alivyo perfom kwenye tamasha Nairobi

Mwimbaji Staa wa Bongofleva Diamond Platnumz alialikwa kwenye tamasha la Koroga Festival Nairobi Kenya May 28, 2017 ambapo alitumbuiza akiwa na Band yake.

Wabunge wapingwa kuhusu wanafunzi wanaopewa mimba

Mtandao wa kutokomeza ndoa za utotoni Tanzania 'TECMN' umesikitishwa na kitendo cha baadhi ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuunga mkono hoja ya kutowapa nafasi ya kuendelea na masomo wanafunzi wa kike waliopata ujauzito wakiwa shuleni baada ya kujifungua.

SAKATA LA MKURANGA: Kukamatwa kwa watoto kwa tuhuma za ugaidi, mengi yai...

Simba Wapeleka Kombe la Ubingwa wa Shirikisho Bungeni

LIVE: Maadhimisho ya Mbio za Mwenge wa Uhuru, Kariakoo - Dar

Dawa Rahisi ya kuongeza Nguvu za Kiume

Madhara 10 Usiyoyajua yatokanayo na kula WALI

Madhara 10 Usiyoyajua yatokanayo na kula WALI wa aina hii hapa. Tafadhari tazama video hii muhimu kwako kama wewe huwa unakula chakula hii maarufu kiitwacho wali ama ubwabwa.

Majibu ya Makonda kuhusu Vyeti Feki haya hapa

Hatimaye Paul Makonda mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amejibu tuhuma za kuwa na vyeti feki hadharani baada ya kuulizwa swali hilo na Mwanafunzi wa chuo. Majibu ya Paul Makonda kuhusu Vyeti vyeti bado ya ukakasi kuhusu tuhuma hizo zinazomkabili.

Majibu ya Makonda kuhusu Vyeti Feki haya hapa

Hatimaye Paul Makonda mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amejibu tuhuma za kuwa na vyeti feki hadharani baada ya kuulizwa swali hilo na Mwanafunzi wa chuo. Majibu ya Paul Makonda kuhusu Vyeti vyeti bado ya ukakasi kuhusu tuhuma hizo zinazomkabili.

Breaking: Makonda Aondolewa Rasmi kwenye Sakata la Vyeti Feki

Sikiliza Waziri Angela Kairuki alivyofafanua kwanini Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda hatohusika na Sakata hili la Uhakiki wa Vyeti Feki linaloendelea nchi nzima

Angalia Anachofanya Mlinzi wa Makonda anaejiita Sniper

Angalia Anachofanya Mlinzi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda anaejiita Sniper

MPYA: Zari Afunguka Kwenye Misa maalum ya Kumwombea Ivan

MPYA: Zari Afunguka Kanisani kwenye misa maalum ya Kumwombea Marehemu Ivan Ssemwanga

Simba 2 vs 1 Mbao FC - Penati Tata Yaipandisha Ndege Simba

Timu ya Simba Sports Club imetwaa kombe la Shirikisho Tanzania Bara kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya timu changa iliyojizolea umaarufu sana kutoka Mwanza ya Mbao FC. Magoli ya Simba yalifungwa na Fredrick Braghon na Kichuya ndani ya dakika thelathini za nyongeza. Simba imekata tiketi ya kushiriki michuano ya shirikisho barani Afrika.

UPDATES:Mwanza waadhimisha siku ya hedhi

Changamoto Hospitali ya Seko Toure kupatiwa ufumbuzi

UPDATES:Wizara Ya Mambo Ya Nje Yaomba Kiasi Cha Bilioni 150

Bunge La Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Linaendelea Leo Tarehe 29/05/2017 Ambapo Wizara Ya Mambo ya Nje Na Ushirikiano Wa Afrika Mashariki Imewasilisha Makadilio Ya Mapato Na Matumizi Ya Bajeti Ya Wizara Hiyo Kwa Mwaka Wa fedha 2017/18 Ambazo Ni Kwa Ajiri Ya miradi Ya Maendeleo Na Matumizi Ya Kawaida

Cha mwisho alichokizungumza IGP Mangu kabla ya kuteuliwa kwa IGP mpya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo May 28 2017 amemteua Kamishna wa Polisi Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP). Kabla ya Uteuzi huo IGP Simon Sirro alikuwa Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam

Tanzania ilivyopewa uenyeji wa AFCON U-17 2019

Baada ya mchezo wa fainali ya AFCON U-17 iliyokuwa inazikutanisha timu za Mali dhidi ya Ghana kuchezwa katika uwanja wa Stade de Amitie na Mali kufanikiwa kutetea Ubingwa wake kwa kuifunga goli 1-0 Ghana.