Manula Afungukia Sababu za Kuondoka Azam FC



Aliyekuwa mlinda lango wa Azam FC Manula ameondoka azam FC kutokana na uongozi kutothamini uwezo wake

Saida Kalori arudi kivingine kushirikiana na Diamond,Bell 9 na Darassa

Mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za asili nchinI Tanzania Saida Kalori ameamua kurudi upya ,Baada ya kuona Wanamuziki wa bongo fleva wanakopi nyimbo zake bila ya yeye kufaidika na chochote ,Kwa sasa ametoa nyimbo yake inayoitwa "O'RUGAMBO"

Kufutwa Kodi ya Magari, Kuongezeka Bajeti, Wizi wa Madini, Watanzania Na...

Mbunge wa Kakonko, Kasuku Bilago amecharuka bungeni ambapo amehoji ni nani aliyewaroga Watanzania mpaka wanafikia hatua ya kufanya mambo ya ajabu wakiongozwa na wabunge wao?
Bilago alikuwa akichangia bajeti ya serikali bungeni ambapo alilaani vikali kitendo cha serikali kufuta kodi ya magari (motor vehicle license) na kuihamishia kwenye mafuta, kwani kitendo hicho ni sawa na kumuongezea mzigo mzito mwananchi wa kawaida na kusababisha maisha yazidi kuwa magumu.

IJUE Kazi mpya ya Jakaya Kikwete Baada ya Kustaafu

Rais Mstaafu wa awamu ya nne mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kazini,

GOOD NEWZ: LISSU AMUUNGA MKONO MAGUFULI REPOTI YA 2 KWA MASHART HAYA....

MANENO MAZITO ALIYOYASEMA M.BUTIKU IKULU YAMLIZA JPM KATIKA REPOTI YA 2 ...

BUNGE LA BAJETI 2017/18: WABUNGE WAZIKOMALIA SHILINGI 40 ZA ROAD LICENSE

Wabunge kadhaa wameitaka serikali kutumia shilingi arobaini zilizowekwa kwenye tozo ya mafuta kuboresha huduma za maji mijini na vijijini

Kisa cha majibizano ya Diamond Platnumz na Zari kwenye mtandao

Katika stori zinazotrend kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na majibizano kati ya Diamond Platnumz na Zari kwenye Instagram baada ya Diamond kupost picha ya Zari akiwa kwenye swimming pool na mwanaume mwingine na kuonyeshwa kukasirika na baadae Zari akajibu

Jionee Harmonize na Mzungu wake wakila bata Marekani

Gwajima Anunua HELKOPTA ya Kijeshi , kubwa kuliko zote Africa

Breaking Newz: HAWA NDO VIGOGO WALOSAINI MIKATABA YA MADINI WATAJWA WALO...

UWAMUZI WA MAGUFULI NA HATUA ATAKAZOZICHUKA KWA REPOTI YA 2 YA MADINI - ...

Bajeti ya Tanzania kwa mwaka wa fedha 2017

BBC SOMALI TV BULLETIN 09.06.2017

HATARI: SAKATA LA UCHAWI BUNGENI

UPINZANI WAIGOMEA TENA BAJETI KUU YA SERIKALI

RIPOTI YA MCHANGA II: Alichokisema Rais Magufuli Baada ya Kukabidhiwa, I...

Ripoti ya pili ya mchanga wa madini, imewasilishwa mbele ya Rais John Pombe Magufuli na mwenyekiti wa kamati hiyo, Nehemia Eliachim Ossoro ambapo rais ameonesha kuhuzunishwa sana na kukasirishwa mno na kilichomo kwenye ripoti hiyo.
Ripoti ya kamati hiyo, inakuja siku chache baada ya kamati ya kwanza iliyoongozwa na Profesa Mruma, nayo kukabidhiwa kwa mheshimiwa Rais, ikionesha ubadhirifu mkubwa wa rasilimali za taifa, katika sekta ya madini nchini

Agizo la JPM kwa Spika Ndugai baada ya kupokea Ripoti ya Pili

Baada ya kupokea Ripoti ya Pili ya mchanga wa madini Ikulu leo June 12, 2017 Rais Magufuli ametoa agizo kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kuwashughulikia Wabunge ambao hawaoneshi nidhamu kuheshimu Bunge…