CRDB KUSAIDIA WAJASIRIAMALI KWA MIKOPO NAFUU

Sikiliza Hekima na Busara za Riziki Shahari na Zitto Kabwe Bungeni

Mbunge wa Viti Maalum CUF, Riziki Shahari, ametema cheche bungeni kuhusu
kuwasilishwa kwa muswada wa mabadiliko ya sheria za maliasili,
akilalamika kwamba uamuzi wa mheshimiwa rais wa kuwasilisha muswada huo
bungeni kwa hati ya dharura, haupo sahihi kwa sababu muda uliotolewa
kujadili ni mfupi.
Mbunge huyo aliendelea kuhoji, iweje nchi ambayo ina wasomi, wanasheria
na wataalamu, ikubali kupumbazwa na wajanja wachache kwa kutumia
mikataba ambayo imepitishwa na bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tanga waanza kula faida ya bomba la mafuta Uganda

BREAKING: Serikali yalifungia Gazeti la MWANAHALISI

BREAKING NEWS: Watoto 3 Wafariki kwa Mlipuko wa Bomu Arusha

Kutokea katika hosipitali ya wilaya ya Monduli mkoani Arusha, taarifa za kufariki dunia kwa watoto watatu (3) waliofariki dunia kwa kulipukiwa na bomu zimethibitishwa na daktari aliyekuwa zamu na kueleza kuwa miili ya watoto hao imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti hosipitalini hapo na taratibu za maziko zinaendelea

MAOMBI YA LISSU: Polisi wazuia yasifanyike, watatu wakamatwa

BREAKING NEWS: Nyumba ya Mbunge Zitto Kabwe Yateketea kwa Moto

Katika hali ya kushangaza nyumba ya mbunge wa kigoma mheshimiwa zitto zuberi kabwe yawaka moto.inasemekana chanzo chatukio hilo bado halija julikana.nikuombe mpenzi msomaji wa blog hii.

DIAMOND AVUNJA RECORD NCHINI MOZAMBIQUE

superstar ambaye anaipeperusha bendera ya bongo vizuri.mwanamziki diamond platnum amefanya show ambayo inasemekana ni moja ya show za kihistoria kufanyika katika nchi ya mozambique.

HUYU HAPA SHABIKI WA MAJIMAJI ALIYEMROGA AJIBU NA TSHISHIMBI

Najua unaweza kushangaa kuhusiana na hili ila ndio kilichotokea.Mmoja wa mashabiki wa timu ya majiamaji anashutumiwa kuwaroga wachezaji wawili wa club ya yanga sports club wakati wa mchezo baina ya timu hizo mbili

Azam FC 1 vs 0 Kagera Sugar - Azam FC Wakaa Kileleni Kwa Muda

Wakati takwimu zikionyesha kuwa asilimia sabini na tano ya watanzania wanajishughulisha na shughuli za kilimo huku, wakikabiliwa na changamoto mbalimbali za uendeshaji wa shughuli zao, waziri mkuu Kassim majaliwa amesema kwa sasa wameamua kuchukua hatua za kukabiliana na changamoto hizo

WAKULIMA WA PAMBA, CHAI, KAHAWA,TUMBAKU, KOROSHO KUNUFAIKA, WAZIRI MKUU

Wakati takwimu zikionyesha kuwa asilimia sabini na tano ya watanzania wanajishughulisha na shughuli za kilimo huku, wakikabiliwa na changamoto mbalimbali za uendeshaji wa shughuli zao, waziri mkuu Kassim majaliwa amesema kwa sasa wameamua kuchukua hatua za kukabiliana na changamoto hizo

POLISI WAMWITA OMMY DIMPOZ POLISI CENTRAL

Kama ulikuwa hujui hii hapa mpya kwenye trends za youtube ambayo inamuhusisha mwanamziki mkubwa kwenye level za buradani nchini mwanamziki ommy dimpoz ambaye aliitwa na mapoli wa central jijini Dar-es-salaam kwa ajili ya mahojiano

hili hapa povu la jackline wolper kwa x wake(harmonize)

POVU alilolitoa superstar anayetikisa kiwanda cha Bongo Muvi, Jacqueline Wolper kwa X- wake, kupitia ukurasa wake wa Instagram, ni povu ‘zito’, kiasi kwamba hata kama ni nguo chafu kiasi gani lazima zitatakata kwani amemuita ni muimba Taarab.

Kwa mujibu wa mashabiki, hasira za mkizi zilimkamata Wolper baada ya X- wake huyo kuwa anamfuatilia mara kwa mara kwenye 18 zake, kiasi cha kumsababishia mpenzi wake wa sasa anayejulikana kwa jina la Brown, kupaniki na kuhisi labda huenda, wawili hao bado wana uhusiano wa siri.
Baada ya posti hiyo ya Wolper, mashabiki wakashusha komenti kibao. Wengine walimpongeza kwa kutoa kichambo hicho, wapo waliomkosoa na kumwambia kwa nini hizo siri hakuzisema kipindi walipokuwa pamoja, na wengine waliishia kusema kwamba mapenzi ya mastaa wa Kibongo ni ‘kizunguzungu’.

GWAJIMA ATAJA WOTE WALIOTAKA KUMUUA LISSU (Kimenukaaaa!!)

inawezekana ulikuwa umepitwa na taarifa hii.ila kama unavyojua kwanguleo blog inalusogezea taarifa hizi ili na wewe uwe karibu na nchi yako.leo hii kilichojiri mtandaoni hasa youtube ni hii ya mchungaji gwajima ambaye anasema anawajua wote waliofanya shambulia lililotokea kwa mbunge wa singida mashariki ambaye pia ni rais wa tpl mheshimiwa Tundu lissu

'Zitto utanifanya nini? ninaweza kukuzuia usiongee hadi mwisho wa Ubunge...

September 13, 2017 Spika wa Bunge Job Ndugai ameagiza tena kamati ya haki, maadili na madaraka ya Bunge kumhoji Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe baada ya kuendelea kutoa maneno ya kulidhalilisha Bunge licha ya jana Spika kuagiza kuhojiwa kwa kauli hizohizo.


Leo Spika amefunguka zaidi Bungeni kuhusu Zitto Kabwe na kumwambia ana uwezo wa kumzuia asiongee hadi mwisho wake wa Ubunge.

BREAKING: Mahakama ya Kisutu imemuachia huru Yusuf Manji

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuachia huru Mfanyabiashara Yusuf Manji katika kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka (DPP) kuwasilisha hati akionyesha kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka dhidi ya Manji na wenzake.

Spika wa Bunge Amuonya vikali tena ZITTO KABWE, anaweza Kumpiga Marufuku...

Spika wa Bunge Amuonya vikali tena ZITTO KABWE, anaweza Kumpiga Marufuku ya Kuongea Bungeni.

Spika wa Bunge Amuonya vikali tena ZITTO KABWE, anaweza Kumpiga Marufuku...

Spika wa Bunge Amuonya vikali tena ZITTO KABWE, anaweza Kumpiga Marufuku ya Kuongea Bungeni.