HAWA HAPA VIJANA WENYE USHAWISHI HAPA BONGO


STRAIKA wa kimataifa wa Tanzania anayesakata kabumbu katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta ametajwa kama mshindi wa jumla wa shindano la kutafuta vijana 50 wenye ushawishi zaidi nchini.
Ushindi huo umetokana na kupata kura nyingi kwenye kipengele cha Mwanamichezo mwenye ushawishi zaidi huku mwanamuziki wa Bongo Fleva hapa nchini Ali Kiba akimfunika hasimu wake Diamond Platnumz kwenye kipengele cha Burudani. 
Orodha kamili ya walioshinda ni hii hapa chini.

No comments: