2020 huenda hakuna Uchaguzi Mkuu, Magufuli azidi kujisafishia njia

Dr Rwakatare alivyo msaidia Mch.Anthony Lusekelo Milioni moja....

Kundi la watu lavamia Kanisa na kulibomoa, Mwanza...kisa?

Published on Jun 28, 2017
Moja ya story ambayo ina-make headlines kutoka Mwanza ni kuhusu uvamizi wa Kanisa la EAGT City Center la Mkuyuni Mwanza uliofanywa na kundi la watu saa 11 alfajir na kulibomoa. Ayo TV imempata Mama mlezi wa Kanisa hilo na anaelezea zaidi..

Diamond Platnumz baada ya Rayvanny kushinda BET

Staa wa Bongo Flava, Rayvanny kutoka WCB ameshinda tuzo ya BET kipengele cha Viewers Choice Best New International Act Artist, Sasa leo June 25, 2017 Ayo TV na millardayo.com imempata Diamond Platnumz na kuzungumza kuhusu ushindi wa Rayvanny.

Diamond Platnumz baada ya Rayvanny kushinda BET

Staa wa Bongo Flava, Rayvanny kutoka WCB ameshinda tuzo ya BET kipengele cha Viewers Choice Best New International Act Artist, Sasa leo June 25, 2017 Ayo TV na millardayo.com imempata Diamond Platnumz na kuzungumza kuhusu ushindi wa Rayvanny.

MC Pilipili Daah, Usipocheka kwa Kutazama Hii Basi Utakuwa na Tatizo

Msanii mahiri wa vichekesho vya jukwaani (stand-up comedy), MC Pilipili, Sikukuu ya Eid aliwavunja mbavu mashabiki waliohudhuria kwenye event maalum iitwayo Eid Comedy Galla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa King Solomon jijini Dar, usiku wa Eid Mo

Breaking News: Maalim Seif Aishutumu RITA Kusajili Wajumbe Feki wa Bodi,...

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif ameishutumu Wakala wa Usajili, Mufirisi na Udhamini (RITA) kwa kusajili Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa CUF ambao amedao kuwa ni wajumbe feki waliotangazwa hivi karibuni na chama hicho upande wa Prof. Ibrahim Lipumba.

RITA imesajili wajumbe 'feki' wa Bodi ya Wadhamini ya CUF, hizo ni njama chafu za kuua bodi halali iliyokilinda chama. Maalim Seif.

Maalim Seif asema RITA walishinikizwa kusajili bodi feki kwa kutumia nyaraka za kughushi ili Lipumba apate uhalali wa kumuondoa madarakani.
#Global TV Online, kwa kushirikiana na TB

Breaking News: Maalim Seif Aishutumu RITA Kusajili Wajumbe Feki wa Bodi,...

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif ameishutumu Wakala wa Usajili, Mufirisi na Udhamini (RITA) kwa kusajili Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa CUF ambao amedao kuwa ni wajumbe feki waliotangazwa hivi karibuni na chama hicho upande wa Prof. Ibrahim Lipumba.

RITA imesajili wajumbe 'feki' wa Bodi ya Wadhamini ya CUF, hizo ni njama chafu za kuua bodi halali iliyokilinda chama. Maalim Seif.

Maalim Seif asema RITA walishinikizwa kusajili bodi feki kwa kutumia nyaraka za kughushi ili Lipumba apate uhalali wa kumuondoa madarakani.
#Global TV Online, kwa kushirikiana na TB

Breaking News: Maalim Seif Aishutumu RITA Kusajili Wajumbe Feki wa Bodi,...

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif ameishutumu Wakala wa Usajili, Mufirisi na Udhamini (RITA) kwa kusajili Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa CUF ambao amedao kuwa ni wajumbe feki waliotangazwa hivi karibuni na chama hicho upande wa Prof. Ibrahim Lipumba.

RITA imesajili wajumbe 'feki' wa Bodi ya Wadhamini ya CUF, hizo ni njama chafu za kuua bodi halali iliyokilinda chama. Maalim Seif.

Maalim Seif asema RITA walishinikizwa kusajili bodi feki kwa kutumia nyaraka za kughushi ili Lipumba apate uhalali wa kumuondoa madarakani.
#Global TV Online, kwa kushirikiana na TB

Diamond Platnumz Part 2 'Nilitoa Millioni 10 kumnunulia gari Q Boy (aele...

Mr Universe, Matukio Chuma Atua Bongo, Ashusha Somo kwa Vijana

Mr Universe Tanzania mwaka 2002, Matukio Chuma, amewataka vijana wa Kitanzania kutumia fursa mbalimbali zinazojitokeza ndani na nje ya nchi kuliko kubaki wakilalamika.
Chuma ameyasema hayo, wakati akizungumza na wanahabari kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere muda mfupi baada ya kuwasili akitokea Marekani anakofanyia shughuli zake za uandishi wa vitabu, mashairi, ujasiriamali na uhamasishaji.
“Nashukuru kwa moyo waliouonesha baadhi ya marafiki na ndugu zangu kuja kunipokea. Ushauri na kilio changu kwa vijana wa Kitanzania ni kuthubutu kutumia fursa mbalimbali ambazo zimekuwa zikitangazwa dunianikama ambavyo mimi nilithubutu na ninaendelea kuthubutu,” alisema Chuma.

Usain Bolt ajitayarisha kustahafu Ogusti,2017



Mwanariadha mashuhuri Usain Bolt bingwa wa dunia wa mita 100 na 200, ameanza kuwaaga mashabiki wake kabla ya kustahafu wakati wa mashindano ya riadha duniani mjini London Ogusti 5 hadi Ogusti 13, 2017.

Saudi Arabia yabadili safu ya urithi wa kiti cha Ufalme

Mmoroco mwenye umri wa miaka 36 ametajwa kuwa mshukiwa alieripua begi lililojaa misumari na chupa za gesi katika kituo kikuu cha treni mjini Brussels, Ubelgiji.Mawaziri wengine wa serikali ya rais Emmanuel Macron wamejiuzulu nchini Ufaransa. Waziri wa sheria Francoise Bayrou na wa masuala ya Ulaya Marielle de Sarnez wamejiuzulu ili kutoa nafasi kwa rais Macron kusafisha siasa za Ufaransa.Mfalme wa Saudi Arabia Salman amefanya mabadiliko katika safu ya warithi wa kiti cha ufalme na kumteuwa mwanae Mohammed bin Salman aliekuwa naibu mrithi wa kiti hicho kuwa mrithi kamili.

Mtanzania wa kwanza kulipiwa ada ya milioni 365 kusoma Marekani

Ni Mtanzania wa kwanza kupata udhamini wa masomo (Scholarship) ya heshima kusoma chuo kikuu cha biashara Marekani Stanford Graduate School of Business ya dola 160,000 ambazo ni zaidi ya milioni 365 za Tanzania.

Kufungwa kwa Mtanzania Uingereza, Sheria inasemaje?

Siku chache baada ya kuwepo kwa taarifa za Mtanzania Omega Mwaikambo ambaye anaishi Uingereza kuhukumiwa kifungo cha miezi mitatu jela nchini humo kwa kupost kwenye Facebook mabaki ya mtu aliyeungua moto kwenye ajali ya moto ulioteketeza ghorofa la Grenfell Tower Ayo TV imemtafuta Jebra Kambole ambaye ni Wakili wa kujitegemea ili kufafanua zaidi juu ya tukio hilo kulingana na sheria…

Gigy Money - Wema Sepetu Hana Uzuri Wowote, Amber Lulu Anajichubua, Rich...

Teknorojia Ya Kwanza Kuchota Maji Kwa Kadi

FULL VIDEO: Mbunge wa Ukonga Waitara alivyotolewa Bungeni

Mabeste, Lisa na mastaa wa nje kuutangaza Utalii wa Tanzania



Mwimbaji kutoka Bongoflevani Mabeste na mke wake Lisa 'Mama Kedrick' wameelezea mipango yao kuhakikisha wanakuwa sehemu ya kuutangaza Utalii wa Tanzania hasa baada ya siku za hivi karibuni kushuhudia mastaa kadhaa wa soka Duniani wakitembelea Tanzania ambapo kupitia project ya PIGA KAMBI wana mpango wa kuwaleta mastaa wakubwa kama Beyonce na Rihanna ili kuutangaza Utalii.