Wolper ampiga dongo mzungu wa Harmonize, asema ana mdomo mkubwa

IMEVUJAA: Sikiliza Namna Mchezo Mzima Ulivyofanyika Kuigiza Sauti ya Wem...

HUKUMU YA HALIMA MDEE NA ESTER BULAYA BUNGENI

Msaada wa Magari na Bilioni 110 alizokabidhiwa Rais JPM Ikulu leo

Rais Magufuli amefanya mazungumzo na Balozi wa Kuwait hapa nchini Jasem Ibrahim Al Najem na kushukuru kwa kutoa mkopo wa Tsh. Bilioni 110 za ujenzi wa barabara KM 85 Chaya - Nyahua, Tabora.

Rais Magufuli ametoa shukrani na kupokea msaada wa magari mawili ya kubebea taka ngumu yenye thamani ya Dola 200,000/- yaliyotolewa na Serikali ya Kuwait.

SHAURI LA KUDHARAU MAMLAKA YA SPIKA: Wabunge walivyowajadili Mdee na Bul...

Watanzania watakiwa kujenga utamaduni wa kutunza fukwe za bahari

“Tunaotaka kuwa Viongozi bora tunajaribu kujinasibisha na Nyerere” – Mak...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano January Makamba amesema Kongamano la Mazingira lililofanyika Butiama ni kwa sababu Mwalimu Nyerere ni mfano wa kuigwa ambaye kila mmoja anatamani kumuiga katika yale aliyoyafanya

alichosema LOWASSA kwenye MSIBA wa NDESAMBURO leo

Christina Shusho kuhusu vazi la Jeans...ni sahihi kwa waliookoka?

Moja ya story kubwa ambayo inaendelea kuwa gumzo na ku-make headlines kwa kuibua mijadala sehemu mbali ni kuhusu mavazi ya jeans kwa waliookoka ambapo licha ya elimu kutolewa limeonekana kuwa gumu kwa baadhi ya watu.
Ayo TV na millardayo.com zimekutana na Mwimbaji staa wa Injili Tanzania, Christina Shusho ambaye anaeleza kama ni sahihi au sio sahihi kwa waliookoka kuvaa vazi la Jeans.

Mdee, Bulaya wafungiwa mwaka mmoja kwa kumdharau Spika

Bunge limepitisha azimio la Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ikiwa ni pamoja na kupitisha hoja ya kubadilisha azimio hilo lililotolewa na Mbunge wa Vitimaalum Juliana Shonza azimio lililowataka wabunge Ester Bulaya na Halima Mdee kutohudhuria vikao vyote vya Bunge vilivyobaki vya mkutano wa saba wa bunge la bajeti, Mkutano wote wa nane wa bunge na mkutano wote wa tisa wa bunge

"Unaweza kuzaliwa Masikini lakini kufa Masikini ni kujitakia" – Mavunde

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu: Sera, Bunge, Kazi Vijana, Ajira na Walemavu Anthony Mavunde ametoa wito kwa vijana wa kitanzania kuwa wabunifu bila kujali ni wakati gani na changamoto zipi wanazipitia na wasikubali kukatishwa tamaa ili kujiwekea mikakati ya kufikia malengo yao.

Alichokisema Mama Samia kwenye Kongamano la Mazingira Butiama

Makamu wa Rais Samia Suluhu akiwa kwenye Kongamano la Mazingira amewaasa Watanzania kutumia wajibu wao kukumbushana umuhimu wa kuyatunza na kuhifadhi Mazingira kwa manufaa na mustakabali wa maisha ya kila siku…

MPYA: Wema Amtaja Aliyevujisha ile Sauti yake na Mbowe

HEKAHEKA: Mama adaiwa kumchapa mwanae hadi kufa...kisa?


June 5, 2017 kwenye Leo Tena ya Clouds FM mtangazaji Geah Habib ametusogezea Hekaheka ambayo inamuhusu mwanamke mmoja ambaye anashikiliwa na Polisi akidaiwa kumpiga mtoto wake wa kumzaa hadi kufa baada ya kumshutumu kuiba hela ya ndani.

Ndugu Wasisitiza Hawatamzika Ndugu Yao Aliyepigwa Risasi na Polisi Mpaka...

Familia ya Salum Almasi, Imamu wa msikiti wa Al-Kheri uliopo Kurasini jijini Dar es Salaam, aliyepigwa risasi na polisi na kuuawa huku polisi wakiendelea kushikilia msimamo kwamba alikuwa jambazi, wametoa tamko kali kwa jeshi la polisi kuhusu mazingira ya kutatanisha ya kifo cha ndugu yao.

Majaliwa aitaka Halmashauri Kilosa kuirudishia Gairo fedha zake Sh200 mi...

Kivuko kipya cha MV Kazi chapokelewa leo, kina uwezo wa kubeba watu 800

Kivuko hicho kitakachofanya safari kati ya Feri na Kigamboni ujenzi wake umegharimu Sh7.3 trilioni na kina uwezo wa kubeba watu 800 na magari 22 kwa wakati mmoja

Wafanyabiashara ya maua barabarani waomba sapoti ya mtaji taasisi za fedha

Gwajima Amvua nguo Bashite hadharani. Aliyosema hajawahi kuyasema

Askofu Gwajima amvua nguo Bashite hadharani. Aliyosema hajawahi kuyasema. Atoa hukumu kwamba amemfuta kwenye Ulimwenye wa Siasa na Madaraka kwa ujumla mpaka atakapoomba msamah

Msiba: Balozi Cisco Mtiro Afariki Dunia

Mkuu wa Itifaki mstaafu Balozi Cisco Mtiro amefariki dunia katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Cisco Mtiro alikuwa Balozi wa Tanzania nchi za Malaysia, Phillipines, Cambodia, Singapore na Laos.

Kwa mujibu wa familia yake, msiba upo nyumbani kwa marehemu Mikocheni B jijini Dar es salaam ambapo aratibu za mazishi zinaendelea na taarifa zitatolewa mara tu zitapokamilika.