HEKAHEKA: Mama adaiwa kumchapa mwanae hadi kufa...kisa?


June 5, 2017 kwenye Leo Tena ya Clouds FM mtangazaji Geah Habib ametusogezea Hekaheka ambayo inamuhusu mwanamke mmoja ambaye anashikiliwa na Polisi akidaiwa kumpiga mtoto wake wa kumzaa hadi kufa baada ya kumshutumu kuiba hela ya ndani.

No comments: