Kivuko kipya cha MV Kazi chapokelewa leo, kina uwezo wa kubeba watu 800

Kivuko hicho kitakachofanya safari kati ya Feri na Kigamboni ujenzi wake umegharimu Sh7.3 trilioni na kina uwezo wa kubeba watu 800 na magari 22 kwa wakati mmoja

No comments: