Alichokisema Mama Samia kwenye Kongamano la Mazingira Butiama

Makamu wa Rais Samia Suluhu akiwa kwenye Kongamano la Mazingira amewaasa Watanzania kutumia wajibu wao kukumbushana umuhimu wa kuyatunza na kuhifadhi Mazingira kwa manufaa na mustakabali wa maisha ya kila siku…

No comments: