“Tunaotaka kuwa Viongozi bora tunajaribu kujinasibisha na Nyerere” – Mak...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano January Makamba amesema Kongamano la Mazingira lililofanyika Butiama ni kwa sababu Mwalimu Nyerere ni mfano wa kuigwa ambaye kila mmoja anatamani kumuiga katika yale aliyoyafanya

No comments: