Majirani wa Hamisa Mobetto wasimulia jinsi Diamond alivyokua akiingia us...

Dah asikudanganye mtu hasa kwenye swala la kulamba asali kama msemo wa bandu bandu humaliza gogogo ndio ilivyokuwa kwa diamond ambaaye alikuwa anatoroka kwa boss lady kwenda kula asali aliyobakisha kwa hamisa mobbeto huku majirani waishindwa kulala kushuhudia staa huyo akija kwa mobbeto night kali ili asijulikanane na mapaparazi.tembelea kwangu leo blog yangu na pia tembelea page yangu ya faceebook na click follow button ili uwe wakwanza kupata taarifa mara zinapotokea

No comments: