RAY C AKASIRISHWA NA NANDY BAADA YA WIMBO WAKE KUIMBWA KWENYE STAGE

Wadada na ma masperstar wa Tanzania nandy na ray c wamekuwa kwenye kuto kuelewana na hii ni baada ya mwanamziki nandy kutumia wimbo wa ray c kkwenye stage ya fiesta inayoendelea katika mikoa mbalimbali nchini.baada ya kutokelewana huku mwanamziki nandy kupitia ukurasa wake wa instagra ameandika post ambauyo ilisomeka kuwa"sitakusalimia ila nitakuheshimu"www.kwanguleo.blogspot.com/udaku

No comments: