Cheki Jux Akimpigia Magoti Vanessa Mdee Jukwaani, Waimba Pamoja Tigo Fi...

Moja kati ya vitu vya ajabu sana kufanywa na mastaa hasa wa kibongo ni kumnyenyeka x wako, ila jamaa ambaye ni mkali wa nyimbo ya utaniua jux ameonyesha kuwa halijali hiloo na hii ni baada ya kumpigia magoti aliyekuwa e wake vannesa mdee tena jukwaaani.kama inavyojulikana kuwa jux na v money kwa sasa sio wale tuliokuwa tunawajua tena baada ya kuachana na kilaa mtu kujua hamsini zake.kwa taarifa zaidi please nikuombe usubscibe kwenye blog yangu na pia tembelea kwenye page zangu za facebook na tweet

No comments: