breaking news:haya hapa maelezo juu ya kupimwa kwa serengeti boys

Afisa habari wa shirikisho la soka tanzania (TFF) akielezea jinsi ambavyo serengeti boys walitakiwa kupimwa kabla ya mechi.Akielezea zaidi ni kuwa kabla ya michezo kuanza lazima wachezaji wawili kutoka kwenye kila timu lazima wapimwa ili kuthibitisha kuwa wachezaji hawatumia dawa za kuongeza nguvu mchezo.

No comments: