Breaking news:pole nahodha wa serengeti boys

Nahodhawa serengeti boys issa makamba katika hali isiyotarajiwa na wengi amevunjika mguu wakati akifanya mazoezi ya kawaida.makamba aliumia mwenyewe.kwa hali hiyo inampelekea nahodha huyu kukaa nje ya uwanja kwa muda wa miezi mitatu kabla hajarudi tena uwanja

No comments: