Mpango utakaopunguza msongamano wa abiria kwenye vituo vya mwendokasi

Watumiaji wa mabasi yaendayo haraka DSM wamekuwa wakikumbana na kero kubwa ya msongamano wa abiria hasa nyakati za Asubuhi jambo linalosababisha vurugu...sasa wakala wa mradi huo wameeleza mpango uliopo kutatua kero hiyo..

No comments: