breaking news:haya hapa mapokezi ya yanga fc kutoka airport

Bingwa ni bingwa tu hii inadhihirika leo kwenye timu ya yanga fc kwani umati mkubwa wa watu umejitokeza kuwapokea wachezaji wa timu ya yanga ambo wanatoka mkoani mwanza  ambapo walikuwa wanapambana na mbao fc ambapo tulishudia goli la hamisi tambwe kupeleka kombe hili tena yanga.yanga ilishinda goli  moja

No comments: