breaking news:Hii hapa ya mheshimiwa ezikieli maigeakitoa mchango kwenye wizara ya kilimo

mbunge wa msalala ezekiel maige atoa mchango wake kwenye wizara ya uvuvi na mifugo akitoa mchango wake kwenye wizara.Akitoa mchango huu ni kuwa wafugaji wengi na wakulima wamekumbwa na magunjwa hasa  funza ambazo bado dawa za kukinga funa hao bado ni ngumu huku wakulima akitumia sabuni za unga pamoja na majivu ili kutibu funza hao

No comments: