KAULI YA MHESHIMIWA HUSENI BASHE KUHUSU VIWANDA

Huyu ni mbunge wa nzega mjini ambaye anatoa mchango wake kwenye swala la viwanda na biashara huku akitoa takwimu za kushuka kwa kwa asilimia za uzalishaji ambapo anaendelea kuelezea jinsi sera zinavyobadilishwa kila mara na madhara yake.huku akisema maendeleo ya viwanda ni uwekezaji

No comments: