NEW:KAULI YA WAZIRI CHARLES MWIJAGE AZUNGUMZIA KUHUSU VIWANDA

Kauli ya waziri charles mwijage amabye ni waziri wa viwanda na biashara akitoa ufafanuzi kuhusiana na swala la wawekezaji ambao wanakutana na vikwazo pindi pale wanpotaka kuja kuwekeza nchini hivyo amewataka wawekezaji hao kuwa kama kuna kikwazo nenda moja kwa moja kwa rais kwani yeye yupo tayari kutoanafasi za uwekezaji kwa mwekezaji yeyote yule.

No comments: