UPDATE;YAJUE YALIYOTOKEA KWENYE ZIARA YA SIKU TATU YA MHESHIMWA RAIS MKOANI KILIMANJARO

Ilikuwa ni tarehe 29 april mwaka huu ambapo mheshimwa rais alikuwa na ziara katika mkoa wa kilimanjaro ambapo alikpokewa  kwa ngoma na vifijo vya nderemo.ziara ya rais ilikuwa ni ya siku tatu ambapo katika ziara yake iliamabatana na maadhimishisho ya wafanyakazi ambayo kitaifa yalifanyikia pia mkoa huu wa kilimanjaro

No comments: