BEAKING NEWS:DK TIZEBA"TUNAFUTA TOZO 80 KWENYE MAZAO

waziri wa mifugo na maji Dr Charles kizeba ametangaza kufuta tozo 80 za mazo ambazo ziliwekwa kwenye mazao ambazo zilikuwa zinawafanya wakulima kuacha kulima mazao hayo kutokana na kukosa faida katika mazao hayo.kwa kufanya hivyo serikali inawaakikishia wakilima kuwa sasa wanaweza kupata faida katika mazao hasa ya biashara

No comments: