UKIWA WAZIRI,NAIBU WAZIRI LAZIMA ULINDE SERIKALI YAKO-CHARLES KITWANGA

Aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi kabla ya  kutenguliwa na raisi amefunguka na kusema kuwa unapokuwa waziri au naibu waziri ni lazima uilinde serikali yako kwanguvu zako zote.lakini watu wengine watahoji kwa nini ulikuwa kimya muda wote mpak leo hii uongee leo.Asema lazima nitetee serikali yangu na sasa anasema yeye ni mbunge wa kawaida huku akisema hawazuii watu kusema kile wanachokiongelea juu yake.

No comments: