breaking news:ifakara wagungua viatu vya kufukuza mbu

kutoka ifakara,kampuni ya inayohusiana na mambo ya ugunduzi mkoa wa morogoro katika  wilaya ya ifakara wamegundua viatu ambavyo vitaweza kuwafukuza mbu wakati wa jioni.utafiti huu bado hauja kamilika kwani uko katika hatu za awali za majaribio

No comments: