breaking news:jengo jipya la kanisa la gwajima ndio kubwa zaidi

Jengo jipya  la kanisa la mkuu wa kanisa la ufufuo nauzima josephat gwajima ndio linalosemekana kama kanisa kuba kwa sasa katika ukanda huu wa afrika.haya hapa maelezo yake juu ya ujenzi wake na akielezea jinsi wa uzinduzi wa kanisa lake hilo

No comments: