JUA HII:HII NDIO TASWIRA YA MJINI WA KISASA ANAYOTAKA AJENGE

Mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima aendelea kuelezea jinsi mji wake utakavyokuwa pamoj namadhari ya mji huo utakavyoonekana katika taswira hii.akiendelea kuongea akisema wakati akiwa katika uzinduzi wa helikopta yake kawe ambapo alikutana na mchungaji mmoja akamwamwambia afrik mashariki hakuna mchungaji anayemiliki ndege ila kwa sasa kwa gwajima ametengeneza njia

No comments: