BREAKING NEWS:TEKNO ALA SHAVU LA DOLA ZA KIMAREKANI MILLION NNE ZA SONY MUSIC

Baby love me tender ni moja ya mistari iliyoko kwenye nyimbo za mkali kutoka nigeria tekno ambaye kwa sasa anaendelea kuota shavu baada ya kusaini mkataba na colombia music chini ya sony music ambapo atatoa nyimbo tatu ambazo zitasambazwa dunia nzima na lebo hii.Hongera sana tekno

No comments: