NEW.MBUNIFU WA MAVAZI KUTOKA DAR

Je wewe ni mpenzi wa mitindo sasa jibu kama ni ndio basi kuna fursa hii hapa.mbunifu wa mavazi kutoka dar es salaam ameibuka n kufanya mazungumzo na waandishi wa habari jinsi anavyofanya ili kutangaza nguo zake ambazo zinakuwa na nakishinakishi nyingi nyingi

No comments: