SITOISAHAU STAGE YA TANGA DEC 25"HARMONIZE"

Kila mtu anakitu ambacho hata kisahau kwenye maisha ila harmonize hata isahau hii ya mara ya kwanza kwenye stage mkoani tanga kwani ndio ilikuwa mara yake ya kwanza  kukutana na mashabiki zake wa Tanga tangu alipotoa wimbo wa haiyola

No comments: