UPDATE:SIKILIZA SAUTI YA POLISI WALIPOVAMIA MKUTANO-LUCKY VICENT

Hii hapa mpya ya hivi punde ni kuwa viongozi wa lucky vicent walikuwako kwenye mkutano wa ambao ulikuwa ukijadili kuhusu njia za kugawanya pesa ambazo zilipatikana kama rambi rambi ambazo zilikusanywa kwa ajili ya kufanya fidia na pole kwa familia za wafiwa

No comments: